1 Chronicles 29:6-8

6 aNdipo viongozi wa jamaa, maafisa wa kabila za Israeli, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, pamoja na maafisa waliokuwa wasimamizi wa kazi za mfalme wakatoa kwa hiari yao.

7Wakatoa kwa ajili ya kazi ya Hekalu la Mungu talanta 5,000
Talanta 5,000 za dhahabu ni sawa na tani 190.
na darkoni 10,000
Darkoni 10,000 za dhahabu ni sawa na kilo 84.
za dhahabu, talanta 10,000
Talanta 10,000 za fedha ni sawa na tani 375.
za fedha, talanta 18,000
Talanta 18,000 za shaba ni sawa na tani 675.
za shaba na talanta 100,000
Talanta 100,000 za chuma ni sawa na tani 3,750.
za chuma.
8 gKila mmoja aliyekuwa na vito vya thamani akavitoa katika hazina ya Hekalu la Bwana chini ya uangalizi wa Yehieli Mgershoni.
Copyright information for SwhNEN